Headlines News :
Home » » SAL G:" Mwaka 2013 natarajia kusonga mbele zaidi."

SAL G:" Mwaka 2013 natarajia kusonga mbele zaidi."

Written By Unknown on vendredi 1 février 2013 | 04:07

 Msanii wa kiume SALEH GIHOZO a.k.a Sal-G anae ondoka na miondoko ya RNB nchini Burundi ameifahamisha Kora Entertainment  kuwa mwaka 2013 anatarajia kufanya mambo makubwa tena yenye ujuzi wa hali ya juu.

Ametufahamisha :" Hivi karibuni natarajia kufanya nyimbo itakao simama na jina 'Niwihebure' akipenda mungu itatoka na video yake mwezi wa 2 (february),

Pini hio inatengenezewa KISU Record na Producer A-Tzo & Sulex Touch,

na video itatengenezwa na Andyllaire (Technology Films) na baada ya hio nataraji kufanya colabo na mpenzi wangu MISS ERICA,

nyimbo hio itaitwa 'Mbegiy love'..."

Video iliyo Mfanya Sal-G Hawe Maharufu



Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

 
Support : Kent-P | Kora Entertainment | K Awards
Copyright © 2013. Buja News - All Rights Reserved
Created by Kent-P Published by Kora Entertainment
Sponsored by Iwacu Vision Company